Sunday



Wimbo huu ni kwa ajili ya ndugu zetu waliopoteza maisha yao, waliobahatika kuokoka katika ajali ya Mv Spice, waliofiwa, Zanzibar na Tanzania yote kwa jumla. TUKO PAMOJA. na hiki ndio KILIO CHETU.
Wimbo umetayarishwa kenu na ndugu zemu waliopo UK na USA Ft Babiy Cee, Jestina george, Sabry black Seed, hekima Asilia, Makoya Man, Juny Man, Kba na Wakazi we hope na wewe kua msiba huu utakugusia kama ulivyotugusia sisi na wengine wengi nyumbani Tanzania.

No comments:

Post a Comment