Friday

JUNY MAN...KURUDISHA MAJIBU ON HIS DISS FROM DJ-Q


FROM DJ-Q..TO BIBI Q
‎ Am very sory 2 ma FANZ... ila kwa sasa 2ruhusuni 2ukate huu mzizi wa fitna @ DJ-Q.. I lv u da most Q.. n dats y i have 2 kill u. Hakuna haja ya k...uenda jela wkt Mnyapara niko KITAA, 14 St Norbest Road . Brockley. LDN SE 4 1 LD. Cha muhimu ni kuniambia unakuja lini ili nisikumisi. Sema niandae bodybag ngapi kwa ajili yenu. tena fanya haraka uje maana nna kama mwezi cjafanya skendo lolote. Na kama utakuja b4 Ramadhani itakua pna maana nataka Jitu la kuvunjia jungu. Ila kama unaona icho Kinyesi chako mali poa 2 ntayapata nikishakuua. Au kama nije mimi sema 2 ila itakua noma wazee kuishudia maiti yako nitakavyoifanya.

No comments:

Post a Comment